Furaha ndani ya pepo itakuwa ni katika msingi wa kwamba siku hadi siku itakuwa ni yenye kutuweka karibu na Mwenyezi Mungu. Sasa kiuhalisia watu wa peponi duniani pia walikuwa hivi hivi, kwa maana ya kwamba pia walikuwa ni watu ambao walichagua furaha ambayo siku hadi siku ilikuwa ni yenye kuwasogeza kwa Mwenyezi Mungu.
Kiukweli ni kwamba hakuna kabisa furaha ya juu zaidi ya ile yenye kukusogea karibu na Mwenyezi Mungu.
Kwa mtazamo wako, ni furaha zipi ambazo zina sifa ya kutusogeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu?
Tafadhali hebu tuandikie katika comment
Lorem Ipsum is bloot ‘n skynteks van die druk- en setwerkbedryf. Lorem Ipsum is sedert die 1500’s die bedryf se standaard dummy-teks, toe ‘n onbekende drukker ‘n kombuis van tipe geneem het en dit deurmekaar gekrap het om ‘n tipe monsterboek te maak.
Alle regte van hierdie werf behoort aan die Promised Savior-instituut
© 2008-2021 Alle regte voorbehou
Alle regte van hierdie werf behoort aan die Promised Savior-instituut
© 2008-2021 Alle regte voorbehou